Kesi C0007 ya  Pakistani

Kesi FP018: Kupunguza hatari Kaskazini mwa Pakistani kwa Kuongeza vipimo vya Mafuriko Kupusua (GLOF).

Kesi C0007 ya  Pakistani

  • Aina yalalamiko
  • Tarehe iliyopokelewa 12 Aug 2021
  • Matokeo ya kesi Kuondolewa

Mnamo Agosti mwaka 2021, IRM ilipokea lalamiko liliohusiana na kesi FP018. Mlalamikaji au walalamikaji waliibua dukuduku la  kwamba ada iliyotakiwa kulipwa kwa mlalamikaji au walalamikaji haikulipwa licha ya kukamilika kwa kazi ya ushauri iliyowekewa mkataba kati yao na taasisi iliyothibitishwa ya  Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP). Katika mkutano wa kimtandao na mlalamikaji au walalamikaji, IRM ilipata taarifa zaidi kuhusu mkataba wa mlalamikaji au walalamikaji na kuieleza mamlaka ya IRM. Wakati wa hatua yake uamuzi wa ustahiki, mlalamikaji au walalamikaji waliiandikia  IRM mnamo tarehe 26 Agosti na kuondoa malalamiko. Vivyo hivyo IRM ilifunga kesi hiyo mnamo tarehe 26 Agosti 2021.

Hali ya kesi

Fungua

Tarehe 12 Agosti 2021

Uhalali / Uchunguzi wa Awali
Imefungwa

Tarehe 26 Aug 2021 - Kuondolewa

Mlalamikaji

Siri

Hali halisi ya madhara iliyotolewa

Kazi - masuala mengine

Sera za Mfuko wa Mabadiliko ya Tabianchi (GCF) zilizoibuliwa

Viwango vya kimazingira na kijamii

Uwekaji kumbukumbu

Kichwa cha habari Matoleo
Ripoti ya kufunga
KIINGEREZA

Maelezo ya kina ya mradi

Namba ya mradiFP018
Kichwa cha habari cha mradi Kupunguza hatari Kaskazini mwa Pakistani kwa Kuongeza vipimo vya Mafuriko Kupusua (GLOF).
Mada
Kujibadili
Nchi Pakistani
Mkoa
Asia-Pasifiki
Taasisi au shirika lililothibitishwa Programu ya Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa
Maeneo ya matokeo
Afya, chakula, na usalama wa maji
Riziki za watu na jamii
Kundi la hatari Kundi B